The House of Favourite Newspapers

Sita Wakamatwa na Kilo 300 za Meno ya Tembo

0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe leo amesema kuwa Jeshi la Polisi imewakamata watu sita kwa makosa ya kukutwa na jumla ya meno 28 ya tembo katika eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza, Prof. Maghembe amesema kuwa pembe hizo za tembo zina uzito wa zaidi ya kilo 300. Aidha imeelezwa kuwa mmoja wawaliokamatwa ni imamu wa msikiti huko Mbezi Beach.

Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App

Shamrashamra Mapokezi ya Watoto wa Shule ya Lucky Vincent KIA

Leave A Reply