Skylight Band wafunika Usiku wa Mameneja Maisha Basement
Wanamuziki wa Skylight Band wakifanya makamuzi ndani ya Maisha Basement katika Usiku wa Mameneja wa kuamkia leo.
Wadau mbalimbali wakiendelea kusakata rumba kutoka kwa Skylight Band.
Kiongozi wa Skylight Band, Sam Machozi (kulia) akifanya yake na mwanadada wa bendi hiyo.
Meneja wa Burudani wa Maisha Basement, Hemed Kavu ‘ HK’ akiwakaribisha mameneja.
…Akichezesha bahati nasibu kumpata mshindi wa Usiku wa Mameneja.
Afisa Masoko wa Global Publishers Ltd, Innocent Mafuru (kushoto) na mkuu wa kitengo cha IT wa kampuni hiyo, Clarence Mulisa, wakionyesha noti zake (Mulisa) mara baada ya kushinda kwenye moja ya bahati nasibu zilizochezeshwa ukumbini hapo.
Mulissa akitoa neno la shukrani.
Burudani ikiendelea.
(PICHA: MUSA MATEJA/GPL)