The House of Favourite Newspapers

Sudan Kusini Yarudisha Nyuma Majira ya Muda Wake

0

 

NCHI ya Sudan Kusini imerudisha nyuma muda wake kwa saa moja nyuma. Waziri wa Ajira, Bi. Mary Hillary Wani amethibitisha muda mpya utaanza kufuatwa kuanzia saa sita za usiku.

 

Hata hivyo muda wa kazi haujabadilika ni kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni. Tarifa kutoka mjini Juba zinasema kuwa Rais salva Kiir ataungana na mawaziri katika tukio hilo la kurudisha nyuma mshale wa saa kwa saa moja kama ishara ya kuthibitisha tukio hilo.

 

Raia wa nchi hiyo wamepewa wito wa kufadhimisha ishara hiyo pia. Vyombo vya habari vya Sudan Kusini vimekua vikishirikisha umma taarifa hiyo:

Leave A Reply