KAMATI ya Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo Jumatatu, Desemba 16, 2019, imetangaza majina ya waliopitishwa kugombea...
READ MOREMBUNGE wa Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mchungaji, Peter Msigwa amesema kuwa taarifa za kifo cha...
READ MOREALIYEKUWA Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kati kwa kupata kura 60...
READ MOREMWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema atagombea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho katika Uchaguzi unaoendelea kufanyika hivi sasa ndani...
READ MOREMKURUGENZI wa Jiji la Arusha, Dk Maulid Madeni amesema amepokea barua za kujiuzulu za madiwani watano wa Chadema Jiji la...
READ MOREALIYEKUWA mgombea pekee wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendleo (Chadema) Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye, ameshindwa...
READ MOREMbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe(Chadema), ametangaza azma ya kutaka kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
READ MOREVIJANA ambao ni wafuasi na wakereketwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamemchukulia fomu Mwenyekiti wa chama hicho Taifa,...
READ MORECHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza wagombea mbalimbali wa uchaguzi ndani ya chama hicho ngazi ya kanda ambao wameteuliwa...
READ MOREALIYEKUWA mgombea wa Ujumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mnara wa Voda jijini Arusha, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia...
READ MOREMAHAKAMA ya ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Novemba 20, 2019 imetoa uamuzi kuwa wabunge wanne wa Chama cha Demokrasia na...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kesho Jumatano Novemba 20, 2019 kutoa uamuzi dhidi ya wabunge wanne wa Chadema waliokiuka...
READ MOREKUFUATIA Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wiki iliyopita kuamuru wabunge wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakamatwe na...
READ MORECHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kupata pigo baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Jimbo la Buchosa, Jaji...
READ MOREMBUNGE wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, anashikiliwa na polisi katika kituo cha Oyster Bay, kufuatia agizo la Mahakama ya Kisutu...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru wabunge wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakamatwe na kufikishwa mahakamani hapo...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mashtaka yanayowakabili ni...
READ MOREChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kujitoa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika November 24, mwaka huu....
READ MOREALIYEKUWA Mgombea Ubunge wa Jimbo la Buyungu, mkoani Kigoma kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Elia Michael...
READ MORELEO Jumatatu, Oktoba 21, 2019, viongozi 9 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho,...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya upande wa utetezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa siku moja kwa mawakili wa pande zote mbili katika kesi inayowakabili vigogo wa Chama...
READ MOREMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 na kuwataka viongozi, wanachama...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA )...
READ MORECHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepata pigo jingine baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Njombe Edwin...
READ MOREMSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini amekiandika barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akikitaka kutoa maelezo kwa nini kisichukuliwe...
READ MOREUPANDE utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, leo Septemba 24, 2019 umesema umepanga kwenda...
READ MOREMkuu wa wilaya ya Hai, Mhe. Lengai Ole Sabaya ameagiza viongozi wanne wa CHADEMA mkoani Kilimanjaro akiwemo Mbunge wa Viti...
READ MOREVIONGOZI tisa wa Chama chas Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, wameshindwa kuanza kujitetea katika kesi ya...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeridhia kuonyeshwa video inayodaiwa kubeba matukio yanayomhusisha Mwenyekiti wa Chama cha...
READ MOREBaraza la Wazee (CHADEMA), kupitia kwa Mwenyekiti wake, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Hashim Juma Issa limeweka wazi kuwa Tume huru...
READ MOREJESHI la Polisi Wilaya ya Morogoro limezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliokuwa unatarajiwa kufanyika ...
READ MOREKufuatia barua iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) juzi Juni 6, kuhusu kusitisha ajira za muda kwa watumishi...
READ MOREMwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Patrick Ole Sosopi pamoja na wenzake wawili wamekamatwa...
READ MOREKada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lazaro Nyalandu, amedai kuwa mwaka 2020, chama hicho kitarejesha majimbo yote ya...
READ MORETUKIO ambalo ni gumzo katika Mji wa Morogoro maeneo ya Chamwino ni la mauaji ya kada wa Chama cha...
READ MORE