The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

kujiua

Mhitimu Kidato cha Nne Ajiua

Mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021 Shule ya Sekondari Serengeti mkoani Mara Lucas Thomas (17) amekutwa amejinyonga kwa kamba kwenye mti mrefu katika kijiji cha Buhemba Wilaya ya Butiama baada ya kuaga anaenda shambani kuvuna mahindi…

BOSI CHUO KIKUU AJIUA KWA SUMU

MENEJA Rasilimali Watu wa Chuo Kikuu Huria (Open University au OUT), Brown Ngingo anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu, nyumbani kwake Mbezi-Jogoo jijini Dar.  Tukio hilo lililokuwa na usiri mkubwa kutoka kwa wanafamilia lilijiri hivi…

TAJIRI BONGO AJIUA KWA RISASI

MFANYABIASHARA ambaye ni tajiri maarufu mjini Mafinga wilayani Mufindi, Iringa, George Ndendya (50), anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kwa kile kilichosemekana kuwa ni kukwepa kudhalilishwa kutokana na deni analodaiwa na…

Mtoto wa Rais Akutwa Amejiua

Havana: MTOTO wa kiume wa kwanza wa aliyekuwa rais wa Cuba, Fidel Castro, aitwaye Fidel Ángel Castro Díaz-Balart (68) jana alikutwa amejiua mjini Havana, mji mkuu wa nchi hiyo. Castro Díaz-Balart aliyefahamika  kama “Fidelito”  alidaiwa…