The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

mafuta

 Watu 115 Wazikwa Pamoja

WATU 115 walifariki katika mlipuko wa tenki la mafuta siku ya Ijumaa, nchini Sierra Leone wanazikwa kwa pamoja katika mji mkuu wa Freetown. Wengi waliungua sana hata ikawa vigumu kuwatambua. Mamlaka imetoa wito wa watu…

Tanki la Mafuta Laua Watu 13

Watu wapatao 13 wamefariki dunia baada ya tangi la mafuta ya petroli kulipuka huko magharibi mwa Kenya, usiku wa kuamkia Jumapili. Ajali hiyo imeripotiwa kutokea wakati dereva alipojaribu kupishana na lori lingine katika barabara ya Kisumu…

EWURA Yatangaza Kushuka Bei za Mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta zinazoanza kutumika leo Jumatano Desemba 2, 2020. Kwa mujibu wa EWURA, bei ya lita moja ya mafuta ya petroli yaliyopokelewa kupitia…

ZITTO KABWE AJIPELEKA TAKUKURU

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe, amepeleka ushahidi wa tuhuma za rushwa inayodaiwa kuhusisha viongozi wa juu Serikalini katika mradi wa uzalishaji chuma wa Mchuchuma na Liganga kwa Taasisi ya…