×

Tag: Makonda

VIDEO: Waziri Nape Aunda Kamati Kuchunguza Sakata la Makonda Kuvamia Clouds

Waziri Habari, Utamaduni, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, ameunda kamati Maalum ya kuchunguza kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

Ruge Afunguka Jinsi RC Makonda Alivyovamia Clouds TV Usiku na Bunduki

Mkurugenzi wa Vipindi na Uendeshaji  wa Kituo cha Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amehojiwa leo katika kipindi cha 360 cha...

READ MORE

Alichokiandika Nape Baada ya Kuvamiwa kwa Kituo cha Redio Dar

WAZIRI wa Habari,  Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amefunguka kupitia mitandao ya kijamii juu ya madai ya kuvamiwa kwa...

READ MORE

Machangu Waanzisha Mtandao Kumthibiti Makonda

BAADA ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuelezea mafanikio aliyoyapata, changamoto alizokutana nazo na mipango inayofuata...

READ MORE

Makonda: Rais Magufuli Atazindua Ujenzi wa Fly-Over Ubungo, Jumatatu (VIDEO)

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amefanya mkutano na waandishi wa habari na wakazi wa Jiji la...

READ MORE

Diamond Ampongeza Makonda Dar

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva,  Nasib Abdul ‘Daimond Platnumz’, amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda...

READ MORE

Zicheki Picha za Wema Akiwa Mahakamani Asubuhi Hii

MSANII wa Bongo Muvi na malkia wa mtandao Bongo Wema Sepetu, ‘Madam’, asubuhi hii amefika katika mahakama ya mkazi Kisutu...

READ MORE

Makonda Achezewa Sharubu!, Vijana Wamjaribu Mchana Kweupe

Na MECKION MATHEW| RISASI MCHANGANYIKO| HABARI DAR ES SALAAM: UKAIDI! Wakati wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na...

READ MORE

Makonda Awatembelea Wahanga wa Mafuriko Dar (+Video)

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda, amewatembelea wakazi wa Buguruni kwa Mnyamani waliokumbwa na...

READ MORE

RC Makonda Azindua Barabara Iliyojengwa na Wazalendo Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amezindua barabara ya Barabara ya Bandari via Kidongo Chekundu, iliyopo Kurasini...

READ MORE

Makonda Apigwa Kombora Namba 2

  Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| HABARI DAR ES SALAAM: WAKATI nchi ikiwa imelipuka na kumpigia kelele za kutaka...

READ MORE

Vigogo Watano Waliotajwa na Makonda Dawa za Kulevya, Tayari Wamekamatwa

Mamlaka ya Kuzuia na Kupamabana na Dawa za Kulevya  imesema kuwa inawashikilia na kuwahoji vigogo watano waliotajwa katika orodha ya...

READ MORE

Yanayojiri Kanisani Kwa Gwajima Leo Jumapili (+Mubashara Video)

AKIONGOZA ibada katika Kanisa lake la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat  Gwajima,  leo Jumapili,  amesema kuwa kilichotokea ni rasharasha  na...

READ MORE

Jitihada za RC Makonda Zimeuleta Uwanja Huu wa Soka wa Bandari, Dar

  RC Makondana Balozi wa China nchini Tanzania, Dr. Lu Youqing wakizindua mradi huo. Bila shaka kila mmoja wetu anakumbuka ahadi...

READ MORE

Vyeti Kumng`oa Rc Makonda?

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAAA| HABARI DAR ES SALAAM: Sintofahamu! Jumapili iliyopita kwenye mahubiri ya ibada ya Kanisa la...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Vs RC Makonda, Sirro na Kamanda Wambura Yaanza Kuunguruma Mahakama Kuu

DAR ES SALAAM: Kesi ya kupinga kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe dhidi...

READ MORE

Polisi Yakamata Watuhumiwa 100 Madawa ya Kulevya Dar

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro akizungumza na wanahabari. Akisikiliza kwa makini maswali yaliyokuwa yakiulizwa...

READ MORE

Wabunge Wamlipua Steve Nyerere

DAR ES SALAAM: Kusambaa kwa sauti iliyorekodiwa mazungumzo ya mwigizaji Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ na mama wa Miss Tanzania 2006,...

READ MORE

Wala Sio Makonda; Aliyeleta Balaa Hili la Madawa ya Kulevya ni Huyu

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| NIJUAVYO MIMI KILA kona hivi sasa katika nchi yetu, mjadala mkubwa ni vita dhidi...

READ MORE

Tajiri Aliyempa Makonda Ardhi kikaangoni

Na MWANDISHI WETU| UWAZI| HABARI DAR ES SALAAM: Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema atamchukulia...

READ MORE

Tiba Sahihi Waathirika wa Madawa ya Kulevya!

WAKATI serikali ikipambana kwa nguvu zote kuhakikisha inadhibiti uingizaji na usafirishaji wa madawa ya kulevya nchini, Kituo cha Changamoto ni...

READ MORE

Pichaz +Video: Wema Sepetu Alivyorudisha Kadi ya CCM na Kujiunga Chadema

STAA wa filamu Bongo, Wema Isac Sepetu, leo Ijumaa, Februari 24, 2017 ametangaza rasmi kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na...

READ MORE

Mahakama Yalizuia Jeshi la Polisi Kumkamata Mbowe

Mbowe na makada wengine wa Chadema wakitoka mahakamani Mbowe akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama.   Mwenyekiti Taifa...

READ MORE

Sakata la Madawa: Makonda, Kamanda Sirro Kamanda Wambura Waitwa Mahakamani Leo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Paul Makonda, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam (ZPC), Kamishna...

READ MORE

Nyumba za Mbowe Zapekuliwa, Aachiwa Usiku wa Manane

DAR ES SALAAM: Jana  mchana Jumatatu Feb. 20, 2017, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alikamatwa na Jeshi la Polisi wakati...

READ MORE

Wazo Langu Limefika; Nakushukuru Waziri Mkuu Majaliwa, Umenena

Na ERIC SHIGONGO| GAZETI LA UWAZI| NAPASUA JIPU NAAMINI kwamba wasomaji wote wa safu hii hamjambo, kama hivyo ndivyo basi...

READ MORE

Mtoto wa Unga Aliyeibuliwa na RC Makonda…

Na IMELDA MTEMA| RISASI JUMAMOSI| HABARI DAR ES SALAAM: Mtoto Zuhura Athuman (16), mmoja kati ya wawili waliosimamishwa mbele ya...

READ MORE

Manji Kupandishwa Kizimbani Kesho

Habari zilizotufikia zinaeleza kwamba, mfanyabiashara mkubwa na mmiliki wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji anatarajiwa kupandishwa kizimbani kesho. Kwa mujibu...

READ MORE

Masogange Akamatwa na Polisi Sakata la Madawa ya Kulevya

TAARIFA zilizotufikia, zinaeleza kwamba video queen maarufu Bongo, anayefahamika kutokana na shepu yake matata, Agness Gerald almaarufu Masogange, anashikiliwa na...

READ MORE

Nionavyo Mimi ya Makonda ni Kama Hadithi ya Mwanakijiji

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| NIONAVYO MIMI MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda  ameanzisha vita dhidi...

READ MORE

Video: Kamanda Sirro: Tumekamata Watuhumiwa 311 wa Dawa za Kulevya

Mkutano maalum wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na viongozi wengine mbalimbali wa mkoa huo pamoja...

READ MORE

RC Makonda Akabidhi Majina 97 kwa Kamishna Mkuu wa Kupambana na Dawa za Kulevya

Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda akionesha kabrasha lenye majina 97 ya watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya,...

READ MORE

Tazama Live: Walichokisema RC Makonda na Kamishna Awamu ya Tatu ya Oparesheni ya Kupambana na Madawa

Baadh ya wageni waalikwa wakiwa wamekaa kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

Ishu ya Madawa ya Kulevya Imezima Ngoma Hizi…

Na ANDREW CARLOS| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND ZIMESHAPITA wiki mbili sasa tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Makonda: Awamu ya 3 Imekamilika, Kuanika Wengine Jumanne Hii Feb. 13

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa, awamu ya tatu ya kusaka wale wote wanaojihusisha na...

READ MORE

Mjadala Mkali: Vita Dhidi ya Madawa ya Kulevya

Mjadala huu utajadiliwa Live (Mubashara) kupitia YouTube Channel uipendayo ya Global TV Online Save Save Save

READ MORE

Makonda Afunguka Auitwa na Bunge Kujieleza

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hawezi kufika mbele ya Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka...

READ MORE

Sekeseke la Madawa Bado Linaendelea T.I.D Atinga Nyumbani kwa Makonda…..

DAR ES SALAAM: Sekeseke la madawa ya kulevya bado linaendelea kuunguruma Jijini Dar es Salaam na baadhi ya maeneo ya...

READ MORE