Aliyenaswa wizi wa watoto atoa kioja kortini
BAADA ya mwishoni mwa mwaka jana kunaswa kwa wizi wa watoto wawili jijini Mbeya, Hawa Ally Mkalipa (40), mkazi wa Tegeta jijini Dar amezua kioja cha aina yake kortini, IJUMAA WIKIENDA linakupa habari kamili. Hawa alitoa kioja hicho…
