Fahamu Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Kike
BAADA ya kuandika makala yangu kuhusu madhara anayoweza kupata mtu kwa kutofanya tendo la ndoa, nimepokea maswali mengi huku wengi wao wakitaka kujua zaidi kuhusu masuala ya uzazi ikiwemo mambo yanayosababisha kupata mtoto wa kiume ama…
