The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Mtoto

 Mtoto wa Miaka 13 Ajinyonga

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issa, amesema Mtoto anayefahamika kwa jina la Evancy Underson mwenye umri wa miaka 13 aliemaliza Shule moja ya Msingi, Makambako amejinyonga kwa kamba ya katika eneo la jikoni baada ya kukasilishwa…

Mama Aibiwa Mtoto Mapokezi

MTOTO David Mfambo mwenye umri wa siku saba ameibiwa katika hospitali ya wilaya ya Frelimo mkoani Iringa, baada ya Mama mzazi kurubuniwa na mwanamke asiyemjua aliyemdanganya kwamba amshikie mtoto wake na kisha yeye kumuagiza…

Aiba Mtoto Kunusuru Ndoa Yake

Lilian Stanley (36) mkazi wa Tumbaku, Kata ya Kiwanja cha Ndege, Manispaa ya Morogoro, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma ya wizi wa mtoto wa mwezi mmoja katika kanisa la Ufufuo na Uzima ililopo kata ya Mkundi.…

Baba Amkata Mapanga Mwanaye

GEITA: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, linamsaka baba mmoja aliyejulikana kwa jina la Nyamasula Sangesange (43), mkazi wa Songambele Kata ya Nyanguku Wilaya ya Geita kwa tuhuma za kumshambulia mwanaye. Jeshi hilo linamtafuta…

Kichanga Chaokotwa Mto Msimbazi

WATEMBEA kwa miguu mchana jana Jumatatu, Novemba 16, 2020, wakipita kando na mto Msimbazi jijini Dar es Salaam walikumbwa na taharuki baada ya kuona maiti ya mtoto mchanga akiwa kwenye mfuko uliotupwa hapo. Mjumbe wa mtaa…