USAFIRI WA MAFIA NI HATARI MARA MBILI YA MV NYERERE
MAZINGIRA ya usafirishaji abiria kupitia Bandari ya Nyamisati iliyopo Rufiji kwenda Mafia mkoani Pwani, ni hatari sana mara mbili ya kivuko kilichopinduka cha MV Nyerere huko Ukerewe, Mwanza.
Usafiri huo wa Mafia ukiendelea hivyo…
