The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Mwaka mpya

RC Kunenge Aungana na Wahindi Kuadhimisha Mwaka Mpya

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge leo ameshiriki hafla ya Mwaka Mpya wa Kihindu ambapo ametoa wito kwa Wahindi na wananchi kwa ujumla kuendelea kumuombea Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Aidha RC Kunenge ametoa…

Ujumbe wa JPM Mwaka Mpya 2018

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewatakia watanzania wote hjeri ya mwaka mpya 2018, huku akiwataka kuendelea kuchapa kazi. Rais Magufuli ametoa ujumbe huo kwenye ukurasa wake wa twitter…

Mwaka mpya, tujenge nchi kwa pamoja

Ijumaa ijayo Watanzania wote tunaingia Mwaka Mpya wa 2016. Kwangu binafsi mwaka 2015 umekuwa wa bahati mbaya ya kukumbwa na balaa baada ya kampuni yetu kupoteza wafanyakazi wawili, Robert Tillya na Haruni Sanchawa, hakika yalikuwa mapigo…