The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Ngumi

MUUZA SUPU, MTEJA WAZICHAPA LAIVU

MBEYA: Ni jambo litakaloku-shangaza lakini limetokea hivi karibuni katika jiji la Mbeya ambapo muuza supu mmoja alizichapa kavukavu na mteja wake.   Kuzichapa huko kunaharibu ule usemi wa wahenga unaosema ‘Mteja ni Mfalme’ kwani…

DULLAH MBABE AMTWANGA MMALAWI

Bondia Dullah Mbabe wa nchini jana alimtwanga kwa TKO raundi ya tatu, bondia  wa Malawi, Felix Mwamaso,  katika pambano lililokuwa lipiganwe kwa raundi kumi katika Uwanja wa Taifa wa Ndani jijini Dar. Mwamaso alionekana…