Iddi Pialali Apigwa TKO Uturuki
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Idd Pialali amepoteza pambano la ubingwa wa UBO dhidi ya Arvi Avci kwa TKO raundi ya sita katika pambano lililopigwa Cafetaga Sports jijini Istanbul nchini Uturuki.
Katika pambano hilo…
