×

Tag: POLISI

Usikae Kimya Ongea, Sema Kabla Aujaharibika

Mkaguzi wa Polisi Sada Salum ambaye ni Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe...

READ MORE

Dawati la Elimu ya Usalama Barabarani yawafikia Waumini wa Ngarenaro

Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kupitia dawati la elimu ya usalama barabarani Mkoa wa Arusha limewaomba Waumini wa...

READ MORE

Polisi Arekodiwa Akimkanyaga Kichwani Mtu Kwenye Uwanja wa Ndege

Afisa wa polisi amerekodiwa akimpiga akimkanyaga kumpiga kichwani mwanamume alikuwa amelala chini kwenye Uwanja wa Ndege wa Manchester nchini Uingereza....

READ MORE

Polisi Ni Watu Na Jamii Ni Polisi Tushirikiane Kwa Pamoja Kutokomeza Ukatili Na Uhalifu

Waamini wa Kanisa la Moraviani lililopo Majengo mjini Tunduma wilayani Momba kwa Mchungaji Japhet Nyangwa wametakiwa kuendelea kutoa huduma ya...

READ MORE

Polisi Arusha Waja na Mbinu Mpya Kukabiliana Na Uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu katika Mkoa huo ambapo...

READ MORE

Polisi Yaua Wahalifu Sita Sugu wa Unyang’anyi Eneo la Makongo Dar es salaam

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro leo Jumapili Septemba 18, 2022 amesema Jeshi la...

READ MORE

Polisi Amzaba Kofi Bosi Wake kwa Kumuuliza Mbona Hakufika Kazini 

Afisa mmoja wa Jeshi la Polisi ambaye alipewa majukumu ya kulinda shehena ya mitihani katika Kaunti ya Pokot Magharibi amemzaba...

READ MORE

Metacha atajwa kipigo cha Azam

KOCHA mkuu wa timu ya Polisi Tanzania, Malale Hamsini ameweka wazi kuwa sababu kubwa ya ushindi wao wa juzi Jumamosi...

READ MORE

Mbinu Wanazotumia Trafiki Kupokea Rushwa

VITENDO vya rushwa ni miongoopni mwa mambo yanayopigwa vita kutokana na kurudisha nyuma maendeleo baada ya sekta na taasisi mbalimbali...

READ MORE

Mwili wa Askari Wakutwa Ukielea Mtoni

OFISA wa Polisi, David Nyanweya (28) ambaye alimpiga risasi mara sita Mpenzi wake Everlyne Njoki, tarehe 22 Agosti, 2020 baada...

READ MORE

Maafisa wa Polisi Wauawa kwa Kuviziwa

Maafisa wanne wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la kuvizia katika eneo la pwani linalopakana na Somalia. Shambulizi hilo...

READ MORE

Watoto Wadogo Marufuku Majumba ya Starehe

JESHI la Polisi Mkoa Arusha limewataka wakazi mkoa Arusha, kuchukuwa tahadhari za uhalifu na kutopeleka watoto wadogo kwenye majumba ya...

READ MORE

Kamanda ‘Nyakuanyakua’ Aja na Hii Mpya

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Musilimu maarufu Kama kamanda Nyakuanyakua amekuja na kauli mpya aliyeipa jina la “SAFISHA...

READ MORE

Orodha ya Majina Walioitwa Mafunzo ya Jeshi la Zimamoto

Soma Majina ya Waliochaguliwa kuripoti Chuo cha Jeshi la Zimamoto kulichopo Chongo Wilayani Handeni, Tarehe 09/01/2022 bila kukosa.

READ MORE

Waziri Anusurika Kufa, Aogelea Saa 12 Kujiokoa

WAZIRI wa Ulinzi na Polisi wa Madagascar, Serge Gelle (57) ameogelea kwa saa 12 baharini hadi kufika nchi kavu baada...

READ MORE

Polisi: Mhitimu wa SUA Aliyeuawa, Alivutwa Shingo

Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia mtu mmoja kwa mahojiano kufuatia kifo cha mhitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo...

READ MORE

Mamia ya Polisi Kumwagwa Mitaani Sikukuu

JESHI la Polisi mkoani Geita limejipanga kuwatumia maofisa wa jeshi hilo zaidi ya 754 waliotoka mafunzoni ili kusaidia kudhibiti matukio...

READ MORE

Mabasi Yang’olewa Namba Mwanza

Mabasi tisa ya abiria katika stendi kuu ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza yang’olewa namba na kuzuiwa kuendelea na safari...

READ MORE

Mwanamke Awapigia Simu Polisi Kulalamikia Kutopigwa Busu

Mwanamke mmoja amewapigia polisi simu huko Lincolnshire nchini Uingereza kuripoti kuwa mpenzi wake hakumpiga busu, kwa mujibu wa polisi wa...

READ MORE

Viongozi CCM Mbaroni kwa Tuhuma za Kumpiga Polisi

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki (52) na Katibu wa Jumuiya ya vijana UVCCM wa...

READ MORE

Askari Polisi Aliyesifia Gongo Atimuliwa Kazi

Konstebo wa Polisi, Ramadhani Khalfan Said amefukuzwa kazi kwa kwenda kinyume na mwenendo mema wa Jeshi la Polisi Tanzania baada...

READ MORE

Polisi Ampiga Risasi Mkewe, Majirani Watano Kisha Naye Kujiua

TUKIO lisilo la kawaida limesababisha huzuni kutanda katika Mji wa Kabete nchini Kenya baada ya askari wa jeshi la polisi,...

READ MORE

Wasiojulikana Watelekeza Bastola Bar

WATU wasiojulikana wametelekeza bastola aina ya Browing katika choo cha bar moja huko katika kata ya Bigwa Manispaa ya Morogoro...

READ MORE

Mume, Mke Wakamatwa kwa Kuwauza Watoto Wao

VIKOSI vya usalama vya vya ulinzi wa raia nchini Nigeria vimemkamata mwanaume mmoja kwa jina, Elisha Effiong, kwa madai ya...

READ MORE

Polisi Dar: Salimisheni Silaha Zenu

IKIWA ni siku chache baada ya Waziri wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi, George Simbachawene kutoa msamaha kwa...

READ MORE

Wanandoa Wamuua Bosi Wao Kisa Hajawalipa Mshahara

WANANDOA wawili ambao walikuwa wakifanya kazi za vibarua, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma za kumuua mwajiri...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Udanganyifu Mtihani Darasa la Nne

JESHI la Polisi Mkoani Simiyu linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Msingi Shimbale iliyoko Halmashauri ya mji wa Bariadi mkoani humo...

READ MORE

Tangazo la Usaili kwa Waombaji wa Ajira ya Jeshi la Polisi

  Jeshi la Polisi linapenda kuwatangazia kuwa usaili wa vijana wenye fani maalum ambao walioomba kujiunga na Jeshi la Polisi...

READ MORE

Orodha ya Waliochaguliwa Kujiunga na Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi linapenda kutangaza majina ya vijana wenye elimu ya shahada, stashahada, astashahada, kidato cha sita na kidato cha...

READ MORE

GGML Yakabidhi Jengo Jipya la Ofisi kwa Kamanda wa Polisi Geita

Katikajitihada za kuboresha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa taasisi mbalimbali zaSerikali, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imekabidhi...

READ MORE

Polisi Waliofukuzwa Kazi Walikuwa Wakikimbiza Magendo ya Sh 30,000

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema tukio la polisi saba waliovuka mpaka na kuingia nchini Malawi...

READ MORE

Baada ya Kulala Kitandani Miezi 3… Mdamu Afunguka Mazito

GERALD Mathias Mdamu, ni mshambuliaji wa Polisi Tanzania ambaye alivunjika miguu miwili katika ajali waliyoipata timu hiyo ilipokuwa ikitoka mazoezini...

READ MORE

Zee la Miaka 49 Labaka Kitoto cha Miaka 6 – Video

Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu, linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 49, kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake...

READ MORE

Askari Polisi Afariki Akitazama Simba vs Yanga

ASKARI wa Jeshi la Polisi, Kituo cha Polisi Mpwapwa mkoani Dodoma, Afande Rashid Mohamed Juma ambaye ni shabiki wa Timu...

READ MORE

Vijana Walioitwa Kwenye Usaili Kujiunga na Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi linapenda kuwatangazia kuwa usaili wa vijana wenye elimu ya shahada, stashahada na astashahada ambao walioomba kujiunga na...

READ MORE

Baba Mbaroni kwa Kuchoma Matiti ya Binti Yake

JESHI la Polisi jijini Lagos nchini Nigeria wamemkamata mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Banjo kwa madai ya kuyaondoa matiti...

READ MORE

Polisi Aporwa Bastola Na Majambazi

Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamempora bastola yenye risasi kumi na tano afisa wa polisi, George Kingi Bamba, jirani na...

READ MORE

Tabora: Amuua Mkewe na Watoto Wawili Kinyama – Video

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za mauaji ya mkewe na watoto wawili wanaodaiwa kuuawa kwa...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumchezea Mtoto Sehemu za Siri – Video

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Antony Lugendo (34)mkulima,mkazi wa Mlandizi kwa kosa la kumdhalilisha mtoto mdogo wa kike...

READ MORE

Walimu Watano Mbaroni kwa Kuvujisha Mitihani

WATU sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuhusika na njama za kuvujisha mtihani wa kuhitimu...

READ MORE