Rais Samia Amteua Abdul-Razaq Badru kuwa Mkurugenzi PSSSF
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Abdul-Razaq Badru kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), ambapo aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, CPA Hosea Kashimba atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya…