Ummy Atoa Mashine Ya Photocopy Kwa CCM Wilaya Ya Tanga, Afunguka – (Picha+Video)
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Ummy Mwalimu Oktoba 20, 2024 amekabidhi Mashine kubwa ya Photocopy aina ya CANON kwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Tanga Ndugu Meja Mstaafu Hamisi Mkoba na wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Tanga.…
