Mbosso Afichua Bifu Lake na Aslay, Ataja Kilichoiua Yamoto Band
				 
MBOSSO Khan; ni staa mkubwa wa Bongo Fleva ambaye amefichua kuhusu bifu lake la moto na memba mwenzake wa zamani wa Yamoto Band, Aslay huku akitupilia mbali madai kuwa chanzo cha tatizo lao ni wanawawake.
 
Mbosso…			
				 
			