Tanzia: Bi. Nuru Khalfan Kikwete, Amefariki Dunia Leo
TANZIA: Bibi wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, Bi. Nuru Khalfan Kikwete, amefariki leo asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Kwa taarifa zaidi endelea kusoma Tovuti yetu.
Comments are closed.