The House of Favourite Newspapers

Shamsa Ford Yamkuta Mazito Dar

Na Salum Milongo/GPL STAA wa kutoka kiwanda cha filamu cha Bongo Muvi, Shamsa Ford ‘Chausiku’, amepata jeraha la maisha baada ya kupigwa ngumi na jamaa ambaye jina lake halikufahamika mara moja. Kupitia ukurasa wake wa Instagram,…

Baby Kidoti Aitwa Yahaya Mtandaoni

Na Salum Milongo/GPL MWANADADA staa wa kuuza sura kwenye video za wasanii Bongo, ‘Baby Kidoti’, amepachikwa jina la Yahaya na mashabiki wa muziki huo baada ya kuona hajulikani anaishi wapi. Awali Kidoti aliwahi kudaiwa…

Uthamani wa Muvi ni Uhalisia

Na Salum Milongo/GPL Neria ni filamu ya Zimbabwe aliyochezwa mwaka 1993, iliyoandikwa na mwandishi Tsitsi Dangarembga. Filamu hii iliyoongozwa na Godwin Mawuru na kwa kushirikiana na Louise Riber. Ni filamu ya juu kwa hadhi katika…

Weusi Kuja na ‘Ya Kulevya’…

KUNDI la wanamuziki wa Bongo Fleva lenye asili ya kaskazini mwa Tanzania, Arusha, limeachia hewani wimbo mpya unaotambulika kwa jina la ‘Madaraka ya Kulevya’. Aidha Kundi hilo linaloundwa na wasanii kama Joh Makini, Nikki wa Pili na…

Mussa Kitale: Sisi Sote ni Ndugu…

MSANII wa vichekesho nchini, Mussa Yusuph Mahenge ‘Kitale’,  amesema kuwa Waislamu na Wakristo wote ni ndugu. Akizungumza na waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Gwajima lilipo Dar es Salaam, Kitale amesema kuwa…

Nay wa Mitego Atiwa Mbaroni Morogoro

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva anayefanya sanaa yake tofauti na wasanii wengine, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego‘ inadaiwa amekamatwa na polisi mkoani Morogoro akiwa Hotelini mara tu baada ya kumaliza kazi zake. Msanii huyo amekuwa…

Mwigulu: Nape Sio Jambazi…

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameandika ujumbe katika mitandao ya kijamii kufuatia ishu ya aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye kutolewa bastola na mtu anayedaiwa kuwa ni askari kanzu.…

Linex: Kiki Zinaua Muziki

MSANII wa Bongo Fleva anayetikisa kwa sasa na wimbo wake Kiherehere, Sunday Mangu, ‘Linex’, amefunguka kupitia akaunti na kudai kuwa muziki mzuri unapotea ama unakufa kwa uwepo wa kiki (Skendo). Akipiga stori na mwandishi wa mtandao…

Mnaigeria Kuipa Shavu Bongo Muvi

MSANII wa Filamu kutoka Nigeria, Mike Ezuruonye, ‘Mikezuu’ jana alipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ziara ya kikazi. Mike amefunguka kuwa yupo nchini kikazi kuimalizia moja ya filamu…

Makonda Awajibu Wanaomtuhumu Mkewe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewajibu wote wanaosema katika mitandao ya kijamii, kuwa mkewe si raia halali wa Tanzania na kusema kuwa, hata kila siku wataamka na kisa kipya yeye bado ataendelea kupambana na kuhakikisha…