The House of Favourite Newspapers

Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Afariki

0

Mbunge wa zamani wa Morogoro Kusini Mashariki, Semindu Pawa amefariki dunia Februari 17. Pawa amewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na hadi anakutwa na mauti alikuwa mjumbe wa Baraza la Wazee la CCM.

Leave A Reply