The House of Favourite Newspapers

Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Vunjo Afariki Dunia

0

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aloyce Kimaro,  amefariki dunia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.

Kimaro alizaliwa Juni 24, 1953.

Leave A Reply