ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aloyce Kimaro, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.