The House of Favourite Newspapers

Tanzia: Sophia Nyerere Afariki Dunia

0

Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, Sophia Nyerere amefariki dunia leo Jumanne Julai 27, 2021 katika Hospitali ya Mzena, Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.

Leave A Reply