Manispaa ya Temeke itaanza kutoza TZS 50,000 ili kutoa kibali kwa mtu anayetaka kufanya shughuli za kijamii zikiwemo kupiga muziki kwenye kumbi/baa, harusi, sendoff, jando na unyago (ngoma), sherehe za siku ya kuzaliwa. Tozo hiyo itaanza rasmi 1 Februari 2019.
Comments are closed.