Tigo Yazindua Mtandao wa 3G Longido, Arusha
Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini, Lilian Mwalongo hivi karibuni amezindua Mnara mpya ulio ongezewa uwezo kutoka 2G kwenda 3G Longido mkoani Arusha. Uzinduzi huo umehudhuliwa na Mtendaji wa kijiji cha Longido Leiyo Laizer na Mwenyekiti wa kijiji Theresia Kashuma.
Comments are closed.