Tundu Lissu Aandika Historia TLS… Ashinda Urais kwa Asilimia 88
Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa kumchagua rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama chao.
- Tundu Lissu 1411 sawa na asilimia 88
- Francis Stolla 64
- Victoria Mandari 176
- Godwin Mwapongo 64
- Jeremiah Motebesya
- Gida Lambaji
- Hussein Mtembwa
- Aisha Sinda
- Steven Axweso
- David Shilatu
- Daniel Bushele
Comments are closed.