The House of Favourite Newspapers

Tundu Lissu Arejea

ALIYEKUWA Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu amewasili nchini Kenya akitokea Ubelgiji anapoishi kwa sasa, ambapo anatarajiwa kuzindua kitabu chake, Remaining in the Shadows: Parliament and Accountability in East Africa…

Alichosema Hakimu Kesi ya Lissu

HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Thomas Simba, ameahirisha kesi inayomkabili Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema ), Tundu Lissu na wenzake ya kuchapisha habari ya uchochezi kinyume na Sheria ya…

Tundu Lissu Akamatwa na Polisi, Aachiwa

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi jioni ya bleo Jumatatu, Novemba 2, 2020 jijini Dar es Salaam. …