Undani Wa Ndege Iliyopotea Ikiwa Na Rubani – Video
Rubani Samwel Gibuyi wa ndege ya Shirika la PAMS Foundation ambae hajaonekana toka aruke Wilayani Tunduru na ndege hiyo Oct. 18, 2021 saa 9 bado hajapatikana hadi leo wala ndege hiyo haijaonekana, Julius Mtatiro Oktoba 30, 2021 amesema bado jitihada zote za kumtafuta kwa anga na ardhi hazijafanikiwa lakini wanaendelea na zoezi la utafutaji.