Waliochaguliwa ni Happiness Elias Lugiko, Fancy Haji Nkuhi, Dkt. Ngwalu Jumanne Maghembe, Adam Omary Kimbisa, Mariam Yusi Yahya, Abdallah Hasnu Makame na Habib Mnyaa wa CUF huku wabunge wa Chadema wakipata kura nyngi za hapana.
Matokeo ya kura za ubunge wa EALA ya wagombea wa CHADEMA;
1. Ezekiah Wenje
NDIYO- 124
HAPANA- 174
2. Lawrence Masha
NDIYO- 126
HAPANA- 198
Comments are closed.