The House of Favourite Newspapers

Video: Mtanzania Aliyekwama Na Kufariki Uturuki Azikwa Kimya Kimya Dar

0


Mwili wa marehemu Shufaa Kitwana umezikwa Mei 8, 2024 katika nyumba yake ya milele.

Taarifa za kifo chake zilisambaa katika mitandao ya kijamii kwamba mrembo Shufaa alifariki dunia nchini Uturuki.

Leave A Reply