Viongozi Wafika Kwenye Msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba
VIONGOZI mbalimbali kutoka katika taasisi binafsi na Serikali, mapema leo wameendelea kujitokeza kuwafariji ndugu, jamaa na wafanyakazi wa Clouds Media Group, kwenye msiba wa Marehemu Ruge Mutahaba, nyumbani kwao Mikocheni jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA/GPL
Comments are closed.