VIROBA vya mchanga vilivyowekwa ndani ya magunia ya korosho ili kuongeza uzito tayari kwenda kuuzwa nje ya nchi vyabainika katika ghala moja Mkoani Lindi.
Udanganyifu huo unadaiwa kufanywa na viongozi wa Chama cha Msingi cha Pangatena Wilayani Lindi na mkuu wa wilaya hiyo Shaibu Ndemanaga ameagiza wakamatwe.
Comments are closed.