JPM Aagiza Usajili wa Meli Mpya Usitishwe Mara Moja – Video
Share
RAIS John Magufuli ameagiza kusitishwa kwa usajili wa meli mpya Tanzania Bara na visiwani hadi hapo itakapotangazwa vinginevyo kufuatia kukamatwa kwa meli 5 zinazopeperusha bendera ya Tanzania zikiwa na dawa za kulevya.
JPM: Kuanzia Leo Hakuna Kutoa Leseni kwa Meli Yoyote
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.