Vodacom Tanzania Yatoa Msaada wa Vifaa vya Tehama Jijini Dodoma
VODACOM Tanzania Plc kupitia Vodacom Tanzania Foundation, inaendeleza juhudi za kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa kidijitali, ambapo jana imekabidhi msaada wa vifaa vya Tehama kwa shule ya Sekondari Dodoma. Angalia picha za matukio;