Msanii wa Singeli Victor Laina akifanya vitu vyake kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mashabiki wa muziki wa Singeli wakiweweseka kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaammwishoni mwa wiki.
Wasanii wa Sigeli wakishambulia jukwaa kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wakazi wa Kimara wakifurika kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wapenzi wakimbeba msanii wa muziki wa Singeli, Beka Kanali kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya Raino Kimara jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Comments are closed.