The House of Favourite Newspapers

Wastara Amwaga Machozi Airpot, Akiondoka India Kutibiwa (Video)

Msanii wa filamu za Kibongo, baada ya kuchangiwa fedha kwa ajili ya kwenda kutibiwa mguu nchini India, hatimaye leo ameondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuelekea nje ya nchi kwa matibabu.

Comments are closed.