Watabiri 650 ‘Wamebugi’ Matokeo Mechi ya Simba na Yanga
KATIKA mchezo wa kubashiri matokeo ya mchezo wa nusu fainali Kombe la Mapinduzi Zanzibar kati ya watani wa jadi, Simba SC na Yanga SC uliyofanyika jana kuanzia saa 2:15 usiku uliisha kwa sare ya bila kufungana na baadaye kupigiana ‘matuta’ yaani penalti ambapo Simba iliibuka na ushindi kwa kufunga penalti 4-2 na kufanikiwa kuingia fainali.
Mchezo huu umekosa mtabiri sahihi kwa comment zote katika mitandao yetu ya kijamii ya Facebook na Instagram ambapo katika
Facebook wamekoment (wamebashiri) watu zaidi ya 500, na upande wa Instagram ni watu zaidi ya 150 ambapo katika idadi hiyo hakuna aliyebashiri matokeo sahihi.
Salum Milongo/GPL
Comments are closed.