WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Charles Mwijage amewaongoza waombolezaji kuaga miili ya maofisa watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha nchini (Tanzania Investment Center -TIC) waliopata ajali juzi maeneo ya Chalinze Pwani wakati wakielekea Dodoma kwenye mkutano.
Waliopata majeraha ni wawili yaani Godfrey Kilolo (Meneja wa Sheria) na dereva wa gari hilo aliyejulikana kwa jina moja tu la Priscus.
Comments are closed.