The House of Favourite Newspapers

Waziri Majaliwa Aongoza Sala ya Idd El Hajj Mwembe Yanga, Dar

1

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa hotuba yake katika swala ya Idd El Hajj iliyoswaliwa kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke Dar es Salaam leo asubuhi.

2

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijumuika na waumini wengine wa kiislam katika swala ya Idd El Hajj iliyoswaliwa kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke Dar es Salaam leo asubuhi.

3

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na waumini wengine wa kiislam wakisikiliza maswaidha wakati wa swala ya Idd El Hajj iliyoswaliwa kwenye Viwanja vya Mwembe Yanga, Temeke Dar es Salaam leo asubuhi.

4

Sheikh Abdu Kadri akiongoza swala ya Idd El Hajj.

5

Sheikh Nurudin Kishki akihutubia baada ya swala hiyo.

6

7

Waumini wa dini ya kiislam wakishiriki swala hiyo.

Comments are closed.