The House of Favourite Newspapers

Waziri Mkuu Aagiza Tiles Zing’olewe

0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amegiza marumaru zilizowekwa kwenye sakafu ya wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya ya Karagwe ziondolewe haraka kwani hazina viwango vinavyotakiwa na badala yake ziwekwe marumaru zenye ubora unaokidhi viwango vya serikali.

Waziri Mkuu Majaliwa, ametoa maagizo hayo wakati alipokagua ujenzi wa hospitali hiyo akiwa katika ziara yake mkoani Kagera.

Leave A Reply