The House of Favourite Newspapers

Waziri Mwakyembe Akutana na Jaji Warioba

0

IMG_0022Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimsikiliza kwa makini Jaji Joseph Warioba alipomtembelea ofisini kwake leo (16/3/2016) kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria ikiwemo uanzishwaji wa Mahakama maalum ya rushwa na ufisadi. IMG_0035Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (wa pili kulia)akiongea katika kikao na Waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria kilichofanyika leo (16/3/2016) jijini Dar Es Salaam. Wengine pichani ni Jaji Joseph Sinde Warioba (wa pili kushoto)aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju.

Leave A Reply