Waziri Nape na Naibu Waziri wa Maji Wanogesha Usiku Wa Malkia Wa Nguvu Mlimani City
Machi 24, 2024 kumefanyika Usiku wa Malkia wa Nguvu katika Ukumbi wa Mlimani City Hall Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na Naibu Waziri wa Maji, Maryprisca Mahundi walikuwa wageni.