Waziri Ummy Mwalimu Aongea Na Waandishi Wa Habari – Video
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu leo Aprili 23, 2021 amewaagiza watendaji wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanakusanya makusanyo ya Serikali.