WIMBO MPYA: Rich Mavoko – Happy
MSANII wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi (WCB), Rich Mavoko ameachia audio ya wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la ‘Happy’, aliyegonga mdundo wa ngoma hii ni S2Kizzy. Ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini:
Comments are closed.