MTOTO wa aliyekuwa muigizaji nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani maarufu kwa jina la ‘King Majuto’, Hamza Athumani ambaye hivi karibuni ameteuliwa na Rais Magufuli kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo, amefunguka juu ya wosia ambao baba yake alimpa kabla ya kuaga dunia.
Comments are closed.