The House of Favourite Newspapers

Yanga Kucheza dhidi ya Wakulima wa Alizeti, Singida Uwanja wa Mkapa

0

Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Oktoba 27, 2023 kwa mechi tatu, kubwa kuliko ni mtanange kati ya Wananchi, Yanga dhidi ya Wakulima wa Alizeti, Singida Fontaine Gate FC utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa.

Azam FC watakuwa wenyeji wa Wauaji wa Kusini, Namungo FC katika dimba la Azam Complex, Chamazi huku Wajelajela, Tanzania Prisons wakiwa wageni wa Wakusanya Ushindi wa Dar, ‘Kinoboys’.

• 16:00 || KMC FC 🆚 Tanzania Prisons
🏟️ Uhuru

• 18:15 || Yanga SC 🆚 Singida Fountain
🏟️ Benjamin Mkapa

• 20:30 || Azam FC VS Namungo FC
🏟️ Chamazi Complex

Leave A Reply