HabariMichezo Pichaz: Yanga Walivyowasili Dar Wakitokea Comoro Last updated Feb 14, 2017 Share Mchezaji wa Yanga Ali Mustafa Batezi akisalimiana na mshabiki Wachezaji wa Yanga mbele ni kocha msaidizi walipowasili leo katika uwanja wa Jk Nyerere Haruna Niyonzima (kushoto) na kiongozi wa Yanga wanahabari na mashabiki wa Yanga Kelvin Yondani akisalimina na mashabiki Doktari Edward Bavu wa Yanga akifuatiwa na kocha wa makipa Juma Pondamali Juma Mwambusi Kocha Msaidizi wa Yanga Kocha mkuu wa Yanga George Lwandamina Mashabiki wa Yanya wakisukuma kwa furaha gari la Katibu mkuu wa Yanga Juma Mwambusi Kocha Msaidizi wa Yanga Mashabiki wakikimbilia basi la Yanga lililobeba wachezaji Mashabiki wakicheza na kuimba kuipongeza Yanga kwa ushindi wa goli 5 -1 huko Comoro Mashabiki wakicheza na kuimba kuipongeza Yanga kwa ushindi wa goli 5 -1 huko Comoro PICHA NA MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS Save Yanga Share
Comments are closed.