Yanga Yaitandika Ndanda Uwanja wa Uhuru bao 1-0
TIMU ya Yanga, leo Jumamosi imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ndanda FC kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Bao la Yanga limefungwa na Ibrahim Ajibu
PICHA: RICHARD BUKOS | GLOBAL PUBLISHERS