The House of Favourite Newspapers

Zahera Amesinya Gwambina FC

0

ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mwinyi Zahera kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amejiunga na klabu ya Gwambina FC ya Misungwi mkoani Mwanza iliyopanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu.

 

Leave A Reply