ZANTEL YATO ELIMU NA HUDUMA KATIKA SOKO LA DARAJANI, MJINI ZANZIBAR
KAMPUNI ya Zantel wamefanya kampeni ya kutoa elimu na usajili wa wateja iliyofanyika hivi karibuni katika soko la Darajani lililopo Stone Town, mjini Zanzibar hihi karibuni wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Sherif El-Barbary.
Comments are closed.