Dkt. Biteko Ashiriki Sherehe Ya Kuwekwa Wakfu Na Kusimikwa Askofu Mpya Jimbo La Mafinga
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo anashiriki Sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo jipya la Mafinga, Ndg. Vincent Cosmas Mwagala.
Sherehe zinafanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu…