Jokate ‘amzimikia’ Barakah Da Prince
Jokate Mwegelo ‘Kidoti’
Stori: Boniphace Ngumije, RISASI JUMAMOSI
MREMBO wa nguvu, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa katika orodha ya wasanii wa Bongo Fleva anaowakubali kwa sasa Bongo, Baraka Andrew ‘Baraka Da Prince’ ameuteka vilivyo moyo wake.
Kidoti amefunguka hayo juzikati alipokuwa akipiga stori na mwanahabari wetu ambapo alipoulizwa kuhusu msanii wa Bongo Fleva anayemkubali zaidi, Jokate alisema anamkubali kinoma Baraka Da Prince.
Baraka Andrew ‘Baraka Da Prince’
“Yeah! Namkubali sana Baraka, ni mtu ambaye anafanya vizuri kwa kweli ananikosha. Mwingine ni huyu Raymond, naye nampenda,” alisema Jokate, mwanamitindo, mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz