The House of Favourite Newspapers

Jokate ‘amzimikia’ Barakah Da Prince

0

JOKATE_MWEGELO4Jokate Mwegelo ‘Kidoti’

Stori: Boniphace Ngumije, RISASI JUMAMOSI

MREMBO wa nguvu, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa katika orodha ya wasanii wa Bongo Fleva anaowakubali kwa sasa Bongo, Baraka Andrew ‘Baraka Da Prince’ ameuteka vilivyo moyo wake.

Kidoti amefunguka hayo juzikati alipokuwa akipiga stori na mwanahabari wetu ambapo alipoulizwa kuhusu msanii wa Bongo Fleva anayemkubali zaidi, Jokate alisema anamkubali kinoma Baraka Da Prince.

barakaBaraka Andrew ‘Baraka Da Prince’

“Yeah! Namkubali sana Baraka, ni mtu ambaye anafanya vizuri kwa kweli ananikosha. Mwingine ni huyu Raymond, naye nampenda,” alisema Jokate, mwanamitindo, mwigizaji na msanii wa Bongo Fleva.

 

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz

Leave A Reply